MKUTANO MKUU YANGA | Yanga wakusanya bilioni 17.8 msimu wa 2022/23

Опубликовано: 15 Октябрь 2024
на канале: Azam TV
8,526
61

Uongozi wa Yanga waweka hadharani mchanganuo wa mapato na matumizi kwa mwaka 2022/23. Jumla ya mapato kwa msimu huu ni bilioni 17.8

NiMkutano Mkuu wa Yanga uliofanyika leo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)

#YangaSC #MkutanoMkuu #MkutanoMkuuYanga #JNICC