Serengeti Girls yaanza kwa kishindo UNAF-U17, Yaipiga Misri 4-1; Kocha, ubalozi wazungumza

Опубликовано: 03 Май 2025
на канале: Azam TV
857
3

#UNAFWU17 Tanzania yaanza kwa kishindo michuano ya mataifa ukanda wa Kaskazini mwa Afrika, UNAF kwa wanawake U17, ikiicharaza Misri mabaoa 4-1.

Hii hapa taarifa ya Fatma Chikawe kutoka Tunis Tunisia ambaye amezungumza pia na kocha wa kikosi hicho, Bakari Shime pamoja na ujumbe kutoka ubalozi wa Tanzania nchini Tunisia.

FT: Egypt 1-4 Tanzania.

#UNAFGirlsU17Tunisia2024 #UNAFU17 #SerengetiGirls #SerengetiGirlsTunisia #Tunis2024