LIVE: MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) - 11/07/2020

Опубликовано: 19 Октябрь 2024
на канале: Azam TV
38,184
204

CCM yawasha taa ya kijani, wagombea wake wa Urais ni Dkt. John Magufuli na Dkt. Hussein Mwinyi kwa Zanzibar

Aliyekuwa katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana asamehewa huku kufukuzwa kwa Membe kukibarikiwa

Ungana nasi katika uchambuzi wa habari mbalimbali katika Alasiri Lounge huku taarifa kubwa ikiwa ni uteuzi wa Dkt. John Magufuli pamoja na Dkt. Hussein Mwinyi kupeperusha benedra ya CCM kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 kwa Tanzania Bara na Zanzibar.



















Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► https://bit.ly/2wB6zmR

Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM:   / azamtvtz  
►INSTAGRAM:   / azamsports2  
►TWITTER:   / azamtvtz  
►FACEBOOK:   / azamtvtz  
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz