MKUTANO MKUU YANGA 2024 (Part 1) | Neno la utangulizi, Bi Fatma Karume, Msigwa, Mzee Mpili ndani

Опубликовано: 21 Октябрь 2024
на канале: Azam TV
5,533
80

Neno la ufunguzi kutoka kwa Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe,...dua kutoka kwa viongozi wa dini, kuwasili kwa Bi Fatma Karume, Gerson Msigwa, George Mkuchika na wageni wengine........

Ni Mkutano Mkuu wa Yanga unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere, Dar es Salaam na kukufikia mbashara #AzamSports2HD